MWEYEKITI MTENDAJI WA AISHA SURURU FOUNDATION AWA MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI YA KIISLAMU YA SHULE YA SEKONDARI KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Thursday, October 12, 2017

MWEYEKITI MTENDAJI WA AISHA SURURU FOUNDATION AWA MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI YA KIISLAMU YA SHULE YA SEKONDARI KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM

Mwanaharakati wa Kijamii, Mwenyekiti Mtendaji wa Aisha Sururu Foundation, Bi Aisha Sururu (mgeni rasmi) akizungumza na wazazi pamoja na wanafunzi wa  Shule ya Sekondari Kitunda (hawapo pichani) katika sherehe ya mahafali ya kuwaaga wanafunzi wa kidato cha nne wa kiislamu  yaliyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam.
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Kitunda,Tausi Issa(kulia) akimkabidhi risala Mwanaharakati wa Kijamii, Mwenyekiti Mtendaji wa Aisha Sururu Foundation, Bi Aisha Sururu (mgeni rasmi) katika sherehe ya mahafali ya kuwaaga wanafunzi wa kidato cha nne wa kiislamu yaliyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Jaji Kiongozi wa Mashindano ya Qur'an yanayosimamiwa na Aisha Sururu Foundation, Abdallah Mohamed.


Mwanaharakati wa Kijamii,Mwenyekiti Mtendaji wa Aisha Sururu Foundation,Bi Aisha Sururu (kulia) akikabidhi vyeti kwa baadhi ya wahitimu wakiislmu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Kitunda jijini Dar es Salaam.
Mlezi wa Vijana wa kiislamu Tanzania wa Taasisi ya Tamsia, Mikidadi Khalfani akizungumza na wazazi pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Kitunda (hawapo pichani) katika sherehe ya mahafali ya kuwaaga wanafunzi wa kidato cha nne wa kiislamu  yaliyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam.
Naibu Imamu wa Msikiti wa Ihsaan Kitunda, Salim Chanzi (kulia) akizungumza na wazazi pamoja na wanafunzi wa  Shule ya Sekondari Kitunda (hawapo pichani) katika sherehe ya mahafali ya kuwaaga wanafunzi wa kidato cha nne wa kiislamu  yaliyofanyika shuleni hapo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wahitimu wa kidato cha nne wa kiislamu  wakisikliza kwa makini mada zitolewazo na walimu wao pamoja na Mgeni rasmi Mwanaharakati wa Kijamii, Mwenyekiti Mtendaji wa Aisha Sururu Foundation, Bi Aisha Sururu (hawapo pichani) katika sherehe ya mahafali ya kuwaaga wanafunzi hao  yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kitunda jijini Dar es Salaam.


Naibu Imamu wa Msikiti wa Ihsaan Kitunda, Salim Chanzi (katikati) akikabidhi vyeti kwa baadhi ya wahitimu wakiislmu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Kitunda jijini Dar es Salaam.


Mwanaharakati wa Kijamii, Mwenyekiti Mtendaji wa Aisha Sururu Foundation, Bi Aisha Sururu akiwakatika picha ya pamoja na wahitimu wa kiislamu wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari Kitunda.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages