Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), #AnthLusekelo maarufu kwa jina la Mzee wa Upako, amemtaja msanii ambaye anamkubali kati ya Alikiba na Diamond pamoja na kutoa sababu zake.
Akiongea na kipindi cha Maisha Mseto cha Times FM, Mzee huyo wa Upako amesema anampenda sana #Diamond kwa sababu ni mnyenyekevu lakini #Alikiba ni kiburi.
Mchungaji huyo ameongeza kwa kusema,

No comments:
Post a Comment