Thursday, August 3, 2017

Home
KITAIFA
RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MSATA, KABUKU, HALE NA MUHEZA WAKATI AKIELEKEA TANGA MJINI LEO
RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MSATA, KABUKU, HALE NA MUHEZA WAKATI AKIELEKEA TANGA MJINI LEO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa
Mkata wakati alipokuwa njiani kuelekea mkoani Tanga kwa ajili ya
ziara ya kikazi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa
Mkata waliosimama pembeni ya barabara kuu ya Chalinze-
Segera (hawaonekani pichani) mara baada ya kumaliza kuhutubia
katika kijiji cha Mkata mkoani Tanga.
Viongozi mbalimbali wa mkoa wa Tanga akiwemo
Wabunge na wakuu wa Wilaya wakipiga makofi wakati Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe
Magufuli alipokuwa akihutubia Mkata mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa
waliosimama pembeni ya barabara kuu ya Chalinze Segera katika
eneo la Kwa mkonga wakati akiwa njiani kuelekea Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa
Kabuku mara baada ya kumaliza kuwahutubia wakati akielekea
mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kabuku
Handeni mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa
Tanga, Martin Shigela kabla ya kuwahutubia wananchi wa Hale
mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Hale
mkoani Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja ya wakazi
wa Hale mkoani Tanga mara baada ya kuhutubia katika eneo hilo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mwanachama wa
Chama cha Mapinduzi CCM Hadija Juma mara baada ya kusoma
ujumbe ulioandikwa kwenye sare aliyovaa mama huyo.
Wananchi wa Muheza wakimpokea Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe
Magufuli mara baada ya kufika katika eneo hilo la mjini akiwa
njiani kuelekea Tanga.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
KUTOKA MAGAZETINI LEO JUMAPILI AUG 6, 2017
Older Article
BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA - AfDB YAKUNWA NA VIWANGO VYA UJENZI WA BARABARA MTWARA
Ni miaka minne ya neema kwa Mashirika ya Umma
Hassani MakeroMar 21, 2025INEC YATOA UFAFANUZI WANAOJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA MOJA DAR
Hassani MakeroMar 20, 2025RAIS DKT. SAMIA ACHANGIA SH. MILIONI 50 KUMUENZI PADRI SHIRIMA
Hassani MakeroMar 20, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment