NBC YAENDESHA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Saturday, November 25, 2017

NBC YAENDESHA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO

Meneja Amana za wateja binafsi NBC Dorothea Mabonye na Meneja Mikopo ya wateja binafsi Mtenya Cheya wakimpigi mteja aliyeshinda katika droo ya kwanza ya kampeni ya Akaunti ya Malengo ijulikanayo kama Malengo na Kirikuu, aliyejishindia zawadi ya shillingi milioni moja. Wanao shuhudia tukio hilo Kutoka kushoto. Meneja masoko wa NBC Alina Maria Kimaryo, na Msimamizi kutoka Bodi ya Bahati Nasibu ya Taifa Bakari Maggid. NBC iliendesha droo ya kwanza ambayo ilitoa jumla ya washindi 12 walijishindia shillingi milioni moja kila mmoja.

Meneja masoko wa NBC Alina Maria Kimaryo (katikati) akionyesha vipeperushi vya kampeni ya akaunti ya malengo ijulikanayo kama Malengo na Kirikuu kwenye droo ya kwanza. Kushoto ni Meneja mwandamizi wa mahusiano ya Umma William Kallaghe na kulia ni Meneja Amana za wateja binafsi NBC Dorothea Mabonye. NBC iliendesha droo ya kwanza ambayo ilitoa jumla ya washindi 12 walijishindia shillingi milioni moja kila mmoja. 

Meneja masoko wa NBC Alina Maria Kimaryo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa droo ya kwanza ya kampeni ya akaunti ya Malengo ijulikanayo kama Malengo na Kirikuu. Katika droo hiyo jumla ya washindi 12 walijishindia shillingi milioni moja kila mmoja. Wanao shuhudia ni Meneja Amana za wateja binafsi NBC Dorothea Mabonye (kati kati) na Meneja Mikopo ya wateja binafsi NBC Mtenya Cheya.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages