Magufuli ampigia simu Rais mpya wa Burundi - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Sunday, June 14, 2020

Magufuli ampigia simu Rais mpya wa Burundi


Rais Magufuli amezugumza kwa simu na Rais Mteule wa Burundi Evariste Ndayishimiye na kumpongeza kufuatia uamuzi wa mahakama ya Katiba kuagiza Rais huyo aapishwe haraka.

Katika taarifa iliyotolewa leo Juni 13 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, imeeleza kuwa, Rais Magufuli amemhakikishia Ndayishimiye kuwa Tanzania itaendeleza na kukuza ushirikiano na Burundi.

Aidha Rais Magufuli amerudia kumpa pole Rais huyo mteule kwa msiba wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Pierre Kurunziza, aliyefariki Juni 9, 2020.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages