Thursday, August 27, 2020

Benki ya DCB yamtembelea Mama Mkapa na kumpa mkono wa pole
Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, marehemu Benjamin Mkapa, Mama Anna Mkapa (kulia), akipokea nishani yenye ujumbe wa maneno ya Rais Mkapa kuhusu uanzishwaji wa benki ya Biashara ya DCB kutoka kwa Mjumbe wa Bodi ya Benki hiyo, Zawadia Nanyaro wakati yeye, Mkurugenzi Mtendaji, Godfrey Ndalahwa (katikati) pamoja na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa, walipofika nyumbani kwake kumpa mkono wa pole kutokana na msiba alioupata. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa Mkapa, Masaki, Dar es Salaam leo.
Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, marehemu Benjamin Mkapa, Mama Anna Mkapa (kulia), akipokea rambirambi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa walipofika nyumbani kwake kumpa mkono wa pole kutokana na msiba alioupata. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa Mkapa, Masaki,Dar es Salaam leo. Wa pili kushoto ni Mjumbe wa Bodi ya Benki hiyo, Zawadia Nanyaro pamoja na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa.
Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, marehemu Benjamin Mkapa, Mama Anna Mkapa (kulia), akishikana mikono na Mjumbe wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro akiushukuru ujumbe wa benki hiyo uliofika nyumbani kwake kumpa mkono wa pole kutokana na kuondokewa na marehemu Mkapa. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa Mkapa, Masaki,Dar es Salaam leo. Wa pili kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa pamoja na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa.
Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, marehemu Benjamin Mkapa, Mama Anna Mkapa (kulia), akishikana mikono na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Biashara ya DCB, Rahma Ngassa, baada ya kupokea nishani yenye ujumbe wa maneno ya Rais Mkapa kuhusu uanzishwaji wa benki hiyo walipofika nyumbani kwake kumpa mkono wa pole kutokana na msiba alioupata. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa Mkapa, Masaki, Dar es Salaam leo. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa pamoja na Mjumbe wa Bodi, Zawadia Nanyaro.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto) akizungumza na Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, marehemu Benjamin Mkapa, Mama Anna Mkapa (kulia), walipofika nyumbani kwake kumpa mkono wa pole kutokana na msiba alioupata. Hafla hiyo ilifanyika nyumbani kwa Mkapa, Masaki, Dar es Salaam leo. Wa pili kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Rahma Ngassa pamoja na Mjumbe wa Bodi ya DCB, Zawadia Nanyaro.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (wa pili kushoto), Mjumbe wa Bodi, Zawadia Nanyaro na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki hiyo, Rahma Ngassa (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, marehemu Benjamin Mkapa, Mama Anna Mkapa walipomtembelea kumpa mkono wa pole nyumbani kwake, Masaki, Dar es Salaam leo.
Tags
# BIASHARA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
TCRA YASITISHA MATANGAZO CLOUDS TV NA REDIO KWA WIKI MOJA
Older Article
Vodacom Yazindua Huduma Ya 'Jimixie Bundle', Kumuwezesha Mteja Kutengeneza Mseto Wa Bando Lake Mwenyewe Anavyopendelea Kwa Gharama Zake
Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
Hassani MakeroMar 11, 2025Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari Zanzibar, Yajivunia Ongezeko la Wateja
Hassani MakeroMar 07, 2025BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES, INAYOJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE-MBAGALA
Hassani MakeroMar 07, 2025
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment