Mwanga Hakika Microfinance Bank, Benki Mpya Baada Ya Kuungana Kwa Benki Tatu (Mwanga Bank, Hakika Na EFC Bank) - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Saturday, August 15, 2020

Mwanga Hakika Microfinance Bank, Benki Mpya Baada Ya Kuungana Kwa Benki Tatu (Mwanga Bank, Hakika Na EFC Bank)









Naibu Gavana wa BoT, Dk Bernard Kibesse (Kulia), Naibu Mwekezaji, Raymond Tarimo pamoja na  Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Mhandishi Ridhuan Mringo wakifurahi baada ya kuzindua benki mpya iitwayo Mwanga Hakika Microfiance Bank baada ya muunganiko wa benki tatu tatu (Mwanga Community bank, Hakika Microfinance Bank na EFC Tanzania Microfinance Bank).Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo Jagjit Singh.

Naibu Gavana wa BoT, Dk.Bernard Kibesse akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi benki ya Mwanga Hakika Microfinance Bank iliyotokana na muunganiko wa benki tatu ikiwamo Mwanga community Bank,Hakika Microfinance Bank Pamoja na EFC Tanzania Microfinance Bank. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi, Eng.Ridhuan Mringo.
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk.Bernad Kibesse (kushoto), Waziri Mkuu mstaafu Cleopa Msuya(katikati) wakifuatilia zoezi la uzinduzi wa benki ya Mwanga Hakika Microfinance Ltd. Benki hiyo ni muunganiko wa benki tatu (Mwanga Community bank, Hakika Microfinance Bank na EFC Tanzania Microfinance Bank). Kulia ni  Mkurugenzi mtendaji wa benki ya Mwanga Hakika Microfinance Ltd.
Dk. Gabriel Ndunga, mteja wa kwanza kupata huduma kutoka benki mpya ya Mwanga Hakika Microfinance Bank iliyozinduliwa jana baada ya kuungana kwa benki tatu ikiwamo Mwanga Community Bank, Hakika Microfinance Bank Pamoja na EFC Tanzania Microfinance Bank.




Naibu Gavana wa BoT, Dk Bernard Kibesse (Kulia), Naibu Mwekezaji, Raymond Tarimo pamoja na  Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Mhandishi Ridhuan Mringo wakifurahi baada ya kuzindua benki mpya iitwayo Mwanga Hakika Microfiance Bank baada ya muunganiko wa benki tatu tatu (Mwanga Community bank, Hakika Microfinance Bank na EFC Tanzania Microfinance Bank). Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo Jagjit Singh.









Naibu Gavana wa BoT, Dk.Bernard Kibesse akikata utepe kuashiria kuzindua rasmi benki ya Mwanga Hakika Microfinance Bank iliyotokana na muunganiko wa benki tatu ikiwamo Mwanga community Bank, Hakika Microfinance Bank Pamoja na EFC Tanzania Microfinance Bank. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi, Eng.Ridhuan Mringo.
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk.Bernad Kibesse (kushoto), Waziri Mkuu mstaafu Cleopa Msuya(katikati) wakifuatilia zoezi la uzinduzi wa benki ya Mwanga Hakika Microfinance Ltd.Benki hiyo ni muunganiko wa benki tatu (Mwanga Community bank, Hakika Microfinance Bank na EFC Tanzania Microfinance Bank). Kulia ni  Mkurugenzi mtendaji wa benki ya Mwanga Hakika Microfinance Ltd.
Dk. Gabriel Ndunga, mteja wa kwanza kupata huduma kutoka benki mpya ya Mwanga Hakika Microfinance Bank iliyozinduliwa jana baada ya kuungana kwa benki tatu ikiwamo Mwanga Community Bank, Hakika Microfinance Bank Pamoja na EFC Tanzania Microfinance Bank.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages