BENKI YA CRDB YAWAPIGA MSASA WAJASIRIAMALI WA KIZIMKAZI ZANZIBAR - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Wednesday, August 25, 2021

BENKI YA CRDB YAWAPIGA MSASA WAJASIRIAMALI WA KIZIMKAZI ZANZIBAR

Meneja Uhusiano wa Benki ya CRDB Zanzibar, Hamida Juma akitoa elimu ya bima ya maisha ya vikundi katika semina ya wajasiriamali Kizimkazi.
Meneja Mwandamizi wa Uhusiano kwa Wajasiriamali wadogo kutoka Benki ya CRDB, Seuri Meijo akitoa mada ya ubunifu katika ujasiriamali katika Tamasha la Kizimkazi linafanyika visiwani Zanzibar. Tamasha hilo pia linahusisha maonyesho ya sanaa, utamaduni na michezo mbalimbali ambapo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan atakua mgeni rasmi katika kilele cha tamasha hilo Agosti 28.
Mjasiriamali akifuatilia kwa karibu mafunzo yanayotolewa katika semina
Sehemu ya wajasiriamali waliohudhuria semina ya ujasiriamali iliyoandaliwa na Benki ya CRDB katika Tamasha la Kizimkazi 2021.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages