HAJI MANARA AZINDUA JEZI MPYA YA YANGA AWAPIGA VIJEMBE ALIKOTOKA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Wednesday, August 25, 2021

HAJI MANARA AZINDUA JEZI MPYA YA YANGA AWAPIGA VIJEMBE ALIKOTOKA

Klabu ya Yanga imetangaza rasmi jezi zitakazo tumika katika msimu mpya wa 2021/22 katika ligi ya nyumbani na michuano ya klabu bingwa Afrika.

Klabu ya Yanga itakuwa na aina 10 ya jezi kuelekea msimu ujao ikiwemo jezi ya kimataifa na sare maalum za kusafiria.
Aliewahi kuwa msemaji wa Simba SC Haji Manara akizungumza wakati wa uzinduzi wa jezi mpya ya timu ya yanga mara maada ya jana kutangazwa kujiunga na timu hiyo

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages