
Davido anazidi kuonesha jeuri ya Pesa baada ya kuonesha umma kupitia ukurasa wake wa instagram kwamba ameliagiza gari jipya aina ya Lamborghini.
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa staa huyo amesema kuwa gari hilo linathamani ya dola za kimarekani Laki 5 ambazo ni sawa Bilioni 1.27 za kitanzania.


No comments:
Post a Comment