Mandhari ya baadhi ya barabara za Jiji la Dodoma zikiwa zimepambwa na bendera pamoja na mabango yenye picha za Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu wa chama hicho tawala utakaofanyika jijini Dodoma Aprili Mosi, 2022.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
No comments:
Post a Comment