MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitowa Mkono wa Pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu Awamu wa Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa kufiwa na Mtoto wake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi alipofika nyumbani kwa marehemu Chukwani Wilaya ya Magharibi ”B” Unguja, kutowa mkono wa pole kwa familia ya marehemu leo 4-9-2022, na (kulia kwa Mzee Mwinyi ) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitowa Mkono wa Pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mstaafu Awamu wa Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa kufiwa na Mtoto wake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi alipofika nyumbani kwa marehemu Chukwani Wilaya ya Magharibi ”B” Unguja, kutowa mkono wa pole kwa familia ya marehemu leo 4-9-2022, na (kulia kwa Mzee Mwinyi ) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na kutowa mkono wa pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, kwa kufiwa na Mtoto wake Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi, na (kulia kwa Mzee Mwinyi) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi, alipofika nyumbani kwa Marehemu Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja kutowa mkono wa pole kwa familia ya marehemu leo 4-9-2022
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mstaafu Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza na kupokea mkono wa pole kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, alipofika nyumbani kwa marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 4-9-2022,kutowa mkono wa pole kwa familia ya marehemu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu Awamu ya Saba Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitowa mkono wa pole kwa Watoto wa Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi alipofika nyumbani kwa marehemu Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 4-9-2022, kutowa mkono wa pole kwa familia ya marehemu
No comments:
Post a Comment