KAMPUNI YA SBC TANZANIA YAWAPA FURAHA WAHITIMU WA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI KIHONZILE - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, October 7, 2022

KAMPUNI YA SBC TANZANIA YAWAPA FURAHA WAHITIMU WA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI KIHONZILE

Msimamizi wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya SBC Tanzania, Fadi El-Khalil akifurahi pamoja na wanafunzi wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Kihonzile iliyopo Bunju, jijini Dar es salaam wakati wa mahafali ya kwanza ya shule hiyo yaliyofanyika hivi karibuni. Kampuni ya SBC Tanzania kupitia kinywaji chake cha Pepsi ilidhamini wa shughuli hiyo kwa kupeleka vinywaji. Wanafunzi wa Darasa la Saba nchini kote walimaliza jana mtihani wao wa Taifa. Kulia ni Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya SBC Tanzania, Dorris Malulu.
Msimamizi wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya SBC Tanzania, Fadi El-Khalil akiimba pamoja na wanafunzi wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Kihonzile iliyopo Bunju, jijini Dar es salaam wakati wa mahafali ya kwanza ya shule hiyo yaliyofanyika hivi karibuni. Kampuni ya SBC Tanzania kupitia kinywaji chake cha Pepsi ilidhamini wa shughuli hiyo kwa kupeleka vinywaji. Kulia ni Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya SBC Tanzania, Dorris Malulu.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages