DABI YA KARIAKOO KUCHEZWA JUNI 25 - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, June 13, 2025

DABI YA KARIAKOO KUCHEZWA JUNI 25

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza mbele mchezo wa watani wa jadi namba 184 kati ya Yanga na Simba, ambao awali ulipangwa kuchezwa Juni 15, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Kwa sasa, mechi hiyo itapigwa Juni 25, 2025 katika uwanja huo huo kuanzia saa 11:00 jioni aidha kupitia taarifa yake TPLB imezitakia klabu zote mbili maandalizi mema kuelekea pambano hilo linalosubiriwa kwa hamu.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages