WANANCHI WAANDAMANA HARARE KUSHINIKIZA RAIS MUGABE AJIUZULU - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Sunday, November 19, 2017

WANANCHI WAANDAMANA HARARE KUSHINIKIZA RAIS MUGABE AJIUZULU


Wananchi wa Zimbabwe waliojawa na furaha wameandamana katika Jiji la Harare wakishinikiza rais Robert Mugabe ajiuzulu.

Waandamanaji hao wameonekana wakiwakumbatia wanajeshi kuwapongeza kwa uamuzi wa kuchukuwa udhibiti wa nchi hiyo tangu jumatano.

Maandamano hayo yanaungwa mkono na wanajeshi na wanachama wa chama tawala wa Zanu-PF, huku maveterani wa vita nao wakimtaka Mugabe aachie madaraka.

Wananchi wa Zimbabwe bila kujali rangi zoa ama itikadi za vyama vyao wakiandamana mitaani.
Waandamanaji wakiwa na picha za Mkuu wa Majeshi Jenerali Constatino Chiwenga pamoja na Makamu wa Rais Emerson Mnangagwa katika kuwapongeza 

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages