MASHINDANO YA QURAN TUKUFU KUFANYILA MWEZI JUNI - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, May 18, 2018

MASHINDANO YA QURAN TUKUFU KUFANYILA MWEZI JUNI


IMG_2808
IMG_2758

IMG_2768

IMG_2792

IMG_2794

IMG_2796

IMG_2800

IMG_2811

IMG_2816

DAR ES SALAAM

Mchujo wa mashindano ya kumpata mwakilishi atakae wakilisha kimataifa katika mashindano ya Quran yamefanyika leo katika Msikiti wa Kichangani uliopo magomeni Mikumi Jijini Dar es salaam.

Akitoa shukrani zake mara baada ya kuibuka kidedea kijana Aboubakar Muhammed Omar amesema kuwa Shindano lililkuwa gumu kutokana alikuwa na akichuana na watunwenye uwezo mkubwa wa kuhifadhi Quran ambapo amewaomba watanzania kuendelea kumuombea Dua kutokana yeye ndiye anaekwenda kuiwakilisha Nchi.
DSCN2845
Waumini Wa Kiislam wakisiliza QUR AN

Aidha amewashukuru Majaji ,marafiki  pamoja na walimu wake kwa kumuombea Dua huku akisistiza waendelee kuwa nae begaa kwa bega wakati wote wa mashindano.
Sequence%2B01.Still002
Huyu ndie Mshindi Bw.Aboubakar Muhammed

"Suala la kuwakilisha nchi ni zuri lakini linahitaji sana msaada wa Dua ili kuweza kufikia malengo"Amesema Aboubakar
DSCN2841
Kwa upande wake Mshiriki mwingine ajulikanae kwa jina la Ismail Ally Jumma kutoka Markaz ameeleza kuwa kilichompelekea kushindwa Shindano hilo ni kubadilika kwa sauti yake huku akidai ni Moja ya Changamoto za Swaum ambapo sauti yake ilibadilika ghafla kwa kukauka.
DSCN2855
Mashindano hayo yameshirikisha wanafunzi wanne kutoka katika Madrasa tofauti nchini.


Michuano hiyo inatarajiwa kufanyika Tarehe 03-06-2018 katika ukumbi wa Diamond Jubilee upanga jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages