TIMU YA JESHI YAINYUKA MIEMBENI 4-2 LIGI YA PROPHET SUGUYE - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Monday, June 24, 2019

TIMU YA JESHI YAINYUKA MIEMBENI 4-2 LIGI YA PROPHET SUGUYE

Mshambuliaji wa timu ya Air Wing FC Maselo Said (kushoto), akimtoka Beki wa Miembeni FC Tumpale Kasebele, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Wachezaji  wa timu hizo wa kiwania mpira wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa timu ya Airwing FC Mushta Thabiti (kulia), akijaribu kumtoka mchezaji wa Miembeni FC, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam, Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango wa Miembeni FC Idris Abdalaah, akijaribu kuokoa moja ya heka heka wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo Airwing ilishinda mabao 4-2 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages