Jumuiya ya MABOHORA Dsm, imeendelea kupeleka vifaa muhimu katika Hosteli za Magufuli kusaidia Juhudi za Serikali dhidi ya COVID 19 RESPONSE TEAM kupambana na janga la CORONA VIRUS.
Baadhi ya watu waliowekwa Karantini katika Hosteli hizo wakipatiwa chakula na Watendaji wa jumuia hiyo.
No comments:
Post a Comment