Wednesday, July 8, 2020

KATIBU MKUU WA CCM, DK. BASHIRU ALLY APOKEA GARI MAALUM LA KAMPENI, JIJINI DODOMA
Gari maalum litakalotumika na kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT) wakati wa kampeni za uchaguzi ikiingia katika Ukumbi Jakaya Kikwete baada ya kulipokea na Katibu Mkuu CCM, Dk. Bahiru Ally, Makao Mkuu ya CCM jijini Dodoma jana. (Picha na CCM)
Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally, akiendesha gari maalum ambalo litatumiwa na kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT) wakati wa kampeni za uchaguzi baada ya kuipokea Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma leo. (Picha na CCM)
Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally, akiendesha gari maalum ambalo litatumiwa na kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT) wakati wa kampeni za uchaguzi baada ya kuipokea Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma leo. (Picha na CCM)
Gari maalum litakalotumika na kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT) wakati wa kampeni za uchaguzi ikiingia katika Ukumbi Jakaya Kikwete baada ya kulipokea na Katibu Mkuu CCM, Dk. Bahiru Ally, Makao Mkuu ya CCM jijini Dodoma jana. (Picha na CCM)
Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally, akikagua gari maalum litakalotumika na kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT) wakati wa kampeni za uchaguzi baada ya kulipokea Makao Mkuu ya CCM jijini Dodoma jana. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dk. Abdulla Juma Mabodi. (Picha na CCM)
Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally, akikagua gari maalum litakalotumika na kikundi cha Tanzania One Theatre (TOT) wakati wa kampeni za uchaguzi baada ya kulipokea Makao Mkuu ya CCM jijini Dodoma jana. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Dk. Abdulla Juma Mabodi. (Picha na CCM)
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
WAZIRI JAFO ATAKA DAMPO LA KISASA JIJINI TANGA LILINDWE
Older Article
Tamwa yakutana kujadili utendaji kazi wa shughuli mwezi Januari hadi Juni 2020
KILUPI: ATAKA KURA ZA MAONI ZISIWAGAWE WANACCM
Hassani MakeroApr 14, 2025Dkt.Dimwa - Akemea Rushwa Mchakato wa Kura za Maoni
Hassani MakeroApr 14, 2025WAZIRI ULEGA AWAOMBA TET KUENDELEZA TUZO YA TAIFA YA MWALIMU NYERERE YA UANDISHI BUNIFU
Hassani MakeroApr 14, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment