Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akizungumza na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao walipotembelea ofisi za Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya ziara ya mafunzo.



Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kulia) akiongozana na Maaskofu na Mapadre kutoka Parokia mbalimbali hapa Tanzania ambao wametimiza miaka 40 ya utume wao wakati wakiingia katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma kwa ajili ya mafunzo.


No comments:
Post a Comment