SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA (TBS) LASHIRIKI MAONESHO YA SEKTA YA MADINI GEITA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Monday, September 21, 2020

SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA (TBS) LASHIRIKI MAONESHO YA SEKTA YA MADINI GEITA

 

Mkuu wa Wilaya ya Biharamuro Col Mathias Kahabi (aliyevaa fulana ya bluu) akitia saini kwenye kitabu maalum cha wageni mara baada ya kuwasili kwenye Banda la Shirika la Viwango Tanzanzia (TBS) katika maonyesho ya tatu ya Sekta ya Madini yanayoendelea kwenye viwanja vya Bombambili Mjini Geita. (wakwanza kushoto aliyesimama) ni Afisa Uhusiano Mkuu wa Shirikia hilo Rhoida Andusamile, na kushoto kwake ni Kaimu Mkuu wa TBS kanda ya Ziwa Evarist Mrema.

  

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages