WASAFI TV YAFUNGIWA MIEZI SITA (6) - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Tuesday, January 5, 2021

WASAFI TV YAFUNGIWA MIEZI SITA (6)


Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) imekifungia Kituo cha Televisheni cha Wasafi TV kwa miezi sita kwa kukiuka kanuni za maudhui.

Taarifa ya TCRA inasema kituo hicho kilivunja kanuni hizo kupitia kipindi cha TUMEWASHA LIVE CONCERT ambacho kilimuonesha msanii Gift Stanford Joshua a.k.a Gigy Money akinengua kwa mitindo iliyoonesha utupu wa mwili wake.

Aidha Wasafi Tv wanatakiwa kutumia siku ya leo kuomba radhi kwa watazamaji wake kufuatia ukiukaji huo na wakikaidi hatua zaidi za kisheria na udhibiti zitachukuliwa.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages