
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inathamini sana ushirikiano mkubwa inaoupata kutoka katika Mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) yaliopo katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.




No comments:
Post a Comment