VODACOM TANZANIA YASHIRIKI UFUNGUZI WA MAONYESHO YA WIKI YA AZAKI JIJINI DODOMA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Monday, October 25, 2021

VODACOM TANZANIA YASHIRIKI UFUNGUZI WA MAONYESHO YA WIKI YA AZAKI JIJINI DODOMA

Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania Plc, Alex Bitekeye (katikati) akitoa maelezo kwa spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia mwenye suti nyeusi) kuhusu huduma na bidhaa mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo wakati alipotembelea banda la Vodacom kwenye maonesho ya wiki ya azaki iliyoanza jijini Dodoma mwishoni mwa wiki.
Mratibu wa mfumo wa kilimo kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania Plc, Ezra Kangala (kushoto) akitoa maelezo kuhusu mfumo wa M-Kulima kwa spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia mwenye suti nyeusi) alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya wiki ya azaki iliyoanza jijini Dodoma mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages