BALOZI LIBERATA MULAMULA AKUTANA NA WAJUMBE WA TIMU YA USIMAMIZI WA BENKI YA STANDARD CHARTERED - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Wednesday, February 9, 2022

BALOZI LIBERATA MULAMULA AKUTANA NA WAJUMBE WA TIMU YA USIMAMIZI WA BENKI YA STANDARD CHARTERED

Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania, Balozi Liberata Mulamula (wa pili toka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Timu ya Usimamizi wa Benki ya Standard Chartered mara baada ya kumaliza kikao kazi. Kutoka kulia ni Afisa Mkuu wa Fedha, Rayson Foya, Mhe. Liberata Mulamula, Afisa Mtendaji Mkuu, Sanjay Rughani. Kutoka kushoto, Mkuu wa Kitengo cha Biashara, Biashara na Masoko, Desideria Mwegelo, Mkuu wa Kitengo cha Wateja, Biashara na Kitaasisi, Jerry Agyeman-Boateng.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages