WAZIRI NDALICHAKO AMEKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA SHIVYAWATA MKOA WA SINGIDA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Tuesday, February 8, 2022

WAZIRI NDALICHAKO AMEKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA SHIVYAWATA MKOA WA SINGIDA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA) kutoka Mkoa wa Singida walipomtembelea katika Ofisi yake iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Jijini Dodoma Februari 8, 2022. Kushoto ni Mwenyekiti wa SHIVYAWATA Mkoa wa Singida Bw. Khamis Ayoub na kulia ni Katibu wa SHIVYAWATA Mkoa wa Singida Bw. Ramadhani Mrisho. PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU)

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages