Wafanyakazi wa Absa Tanzania wajitolea damu kusaidia wodi ya wazazi ya CCBRT - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Tuesday, March 1, 2022

Wafanyakazi wa Absa Tanzania wajitolea damu kusaidia wodi ya wazazi ya CCBRT

Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya Absa Tanzania, Hellen Siria (kushoto) akijitolea damu katika zoezi lililoandaliwa na wafanyakazi wa benki hiyo kutoa damu kwa ajili ya kusaidia wodi mpya ya wazazi katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kutoka kulia ni Muuguzi Mkunga wa hospitali ya CCBRT, Emiliana Tibilikirwa na Fundi Sanifu wa Maabara ya Hospitali hiyo, Athumani Daffa.
Meneja Mahusiano wa Benki ya Absa Tanzania, Linda Lance (kulia) akipata vipimo kabla ya kujitolea damu katika zoezi lililoandaliwa na wafanyakazi wa benki hiyo kutoa damu kwa ajili ya kusaidia wodi mpya ya wazazi katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaomhudumia kutoka kushoto ni Afisa Muuguzi wa Hospitali ya CCBRT, Christina Baluhya na Fundi Sanifu wa Maabara ya Hospitali hiyo, Athumani Daffa.
Product Implementation Analyst, Ridhiwan Ibrahim (kulia) na Meneja Mahusiano wa Benki ya Absa Tanzania, Linda Lance (wa pili kulia) wakijitolea damu katika zoezi lililoandaliwa na wafanyakazi wa benki hiyo kutoa damu kwa ajili ya kusaidia wodi mpya ya wazazi katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam hivi karibuni. kutoka kushoto ni Afisa Muuguzi wa Hospitali ya CCBRT, Christina Baluhya na Fundi Sanifu wa Maabara ya Hospitali hiyo, Athumani Daffa.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages