MAJALIWA ASHIRIKI UCHAGUZI WA VIONGOZI NGAZI YA SHINA WA CHAMA CHA MAPINDUZI - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Saturday, April 16, 2022

MAJALIWA ASHIRIKI UCHAGUZI WA VIONGOZI NGAZI YA SHINA WA CHAMA CHA MAPINDUZI

Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipiga kura kuwachagua viongozi wa Shina namba moja Tawi la Nanguruwe. Uchaguzi huo umefanyika katika Kata ya Nandagala Ruangwa mkoani Lindi Aprili 16, 2022. Chama cha Mapinduzi kipo katika hatua za kufanya chaguzi za ndani.
Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Shina baada ya kupiga kura kuwachagua viongozi wa Shina namba moja Tawi la Nanguruwe. Uchaguzi huo umefanyika katika Kata ya Nandagala Ruangwa mkoani Lindi Aprili 16, 2022. Chama cha Mapinduzi kipo katika hatua za kufanya chaguzi za ndani.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages