RAIS DKT. MWINYI AJUMUIKA NA WANANCHI WA KIJIJI CHA FUMBA KATIKA SALA YA IJUMAA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, June 17, 2022

RAIS DKT. MWINYI AJUMUIKA NA WANANCHI WA KIJIJI CHA FUMBA KATIKA SALA YA IJUMAA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi na Wananchi wa Kijiji cha Fumba wakifuatilia hutba ya Sala ya Ijumaa ikisomwa na Khatib Sheikh.Maulid Issa Shani, kabla ya Sala ya Ibada ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Fumba Bondeni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo. (Picha na Ikulu)
WANANCHI wa Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Fumba Bondeni leo. (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja baada ya kumalizika kwa Ibaada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Fumba Bondeni leo. (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuagana na Sheikh Khamis Mussa Khamis, baada ya kumaliza Ibaada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Fumba Bondeni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja iliyofanyika leo. (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Khamis Mussa Khamis (kushoto kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Fumba Bondeni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo. (Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages