SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA RAIS WA URUGUAY KUFANYA MAZUNGUMZO - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Monday, September 25, 2023

SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA RAIS WA URUGUAY KUFANYA MAZUNGUMZO

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Mabunge Duniani kwa Kundi la Afrika (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na kuzungumza jambo na Rais wa Uruguay Mhe. Luis Lacalle Pou wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa the 2nd World Summit of the Committees of the Future uliofanyika katika Ukumbi wa Bunge la nchi hiyo Jijini Montevideo leo tarehe 25 Septemba, 2023.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages