TANZANIA COMMERCIAL BANK YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA AJILI YA WATEJA WAKE MAADHIMISHO WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Wednesday, October 11, 2023

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA AJILI YA WATEJA WAKE MAADHIMISHO WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA

 

Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Tanzania Commercial Bank ambaye ni Mkurugenzi wa Tehama Bw. Jema Msuya akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho ya wiki ya huduma kwa mteja ambapo benki hiyo pia iliandaa chakula cha jioni kwa ajili ya wateja wake. Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya Benki hiyo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya maofisa wa Tanzania Commercial Bank pamoja na wateja wa benki hiyo wakiwa katika hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na benki hiyo ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa mteja.

Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Tanzania Commercial Bank ambaye ni Mkurugenzi wa Tehama Bw. Jema Msuya (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na maafisa wa benki hiyo wakati wa chakula jioni kilichoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa mteja. 



No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages