MFANYA BIASHARA MTWARA AJISHINDIA MILIONI 20 KUTOA MIXX BY YAS - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Sunday, March 2, 2025

MFANYA BIASHARA MTWARA AJISHINDIA MILIONI 20 KUTOA MIXX BY YAS

Hatimaye kampeni ya Magift inayofanywa na kampuni ya Yas Tanzania ,kupitia kitengo cha Mixx by Yas imeweza  kuwazawadia, wateja na washindi wake wa mkoa wa mtwara zawadi mbalimbali, ikiwemo fedha na gari Moja.
Akizungumza mara baada ya kuibuka mshindi wa kampeni ya Mixx by Yas, Zena Ponera ambaye ni mkazi wa manispaa ya Mikindani mjini mtwara ameelezea  MIKINDANI Siri ya ushindi huo, ambapo mbali na mambo mengine amesishukuru Yas kwa kufanikisha kuchezesha Droo za Magift ya KUGIFT 2024-25.

Kwa upande wake Meneja wa Yas Kanda ya Mtwara, Eric Munuku,ameelezea namna kampeni hiyo ilivyoweza kuwanufaisha watanzania wengi ambao wameweza kujishindia zawadi mbalimbali zikiwemo fedha magari  na zawadi za simu za mkononi Kutoka Yas na Mixx by Yas.

Kampuni ya mtandao wa Mawasiliano ya Yas Tanzania kwa kipindi cha miezi miwili na nusu iliyopita iliendesha kampeni hiyo nchi ambapo jumla ya washindi Zaidi 300 walifanikiwa kujinyakulia zawadi mbalimbali Kutoka Kampuni ya Yas Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages