Mwanzilishi wa Kampuni ya Silafrika Tanzania inayozalisha bidhaa za Simtank, Gulab Shah (wapili kushoto), akikabidhi cheti na zawadi ya mfano wa ufunguo wa Gari kwa mlliki wa Kampuni ya Ravi Group, Ravindra Chadarana baada ya kuibuka washindi wa kwanza katika hafla ya kusheherkrea miaka 35 ya utoaji huduma iliyoambanana na kuwapongeza Mawakala wa bidhaa za SIMTANK nchini. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Silafrika, Alpesh Patel na Sachin Dawda mwakilishi wa Kampuni ya Ravi Group.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Silafrika, Alpesh Patel Akikabidhi cheti na zawadi maalum Kwa mmoja ya mawakala wanafanya vizuri wakati wa hafla ya kusheherkrea miaka 35 ya utoaji huduma iliyoambanana na kuwapongeza Mawakala wa bidhaa za SIMTANK nchini.
Kampuni ya Simtanki imekutana na mawakala zaidi ya 60 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ilikurudisha shukurani kwao kutokana na kile wanachokifanya ikiwa ni maadhimisho ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa Kampuni hiyo.
Maadhimisho hayo yamefanyika Februari 29,2025 katika hoteli ya Hayyt legency jijini Dar es salaam.
Meneja Mauzo kutoka Kampuni hiyo Salman Khan amesema mawakala hao ni chanzo cha mafanikio makubwa kwani wamesaidia kupatika mauzo ya zaidi ya Lita bilioni 26 tangu wameanza na hiyo nizaidi ya pisi laki 6.
"Sisi ni waanzilishi na wabobezi wa hii biashara hasa katika uzalisha wa haya matenki na tumekuja na teknolojia tofauti ikiwemo unbreakable tanki ikiwa na garantee ya miaka 25,"amesema...
Naye Wakala kutoka Mbezi Beach Suleiman Seif amesema Simtank haina mashindani kwani imekuwa ikipendwa na watu wengi na ndani ya mwenzi mmoja unaweza uza tanki zaidi ya 50 za lita 1000 na hiyo nikutokana na uhitaji wa watu.
No comments:
Post a Comment