DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIWASILI UWANJA WA UJAMAA IKWIRIRI - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Monday, October 20, 2025

DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKIWASILI UWANJA WA UJAMAA IKWIRIRI

Mgombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt.Samia Suluhu Hassan akiwasili Kwenye Uwanja wa Ujamaa mjini Ikwiriri Kibiti mkoani Pwani Oktoba 20, 2025 ili kuwahutubia wananchi hao ambapo Dkt. Samia ataeleza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya 2020/ 2025 na kuwaambia namna watakavyotekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025/2030 huku kakiwaomba wananchi Hao kumpigia kura ya ndiyo katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 nchini kote.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages