
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange akijibu maswali bungeni wakati wa Kikao cha Saba cha Mkutano wa Pili wa Bunge jijini Dodoma leo Februari 04, 2026.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (kulia) akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika Kikao cha Saba cha Mkutano wa Pili wa Bunge jijini Dodoma leo Februari 04, 2026. Mbele ni Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma.
No comments:
Post a Comment