Sunday, May 3, 2020

Serikali ya Tanzania kutumia JWTZ kujenga kituo cha kuhudumia wagonjwa wa Corona 200
Serikali ya Tanzania inatumia Sh7 bilioni kujenga kituo maalumu cha kuhudumia wagonjwa wa corona katika eneo la Kisopwa ambalo lipo kilometa moja kutoka hospitali ya Mloganzila.
Taarifa iliyotolewa na Wizara hiyo imeeleza kuwa kituo hicho ambacho kinajengwa upesi kitawekewa miundombinu ya kisasa kurahisisha utoaji wa huduma kwa wagonjwa wa virusi hivyo.
Pindi kitakapokamilika kituo hicho kitakuwa na uwezo wa kuhudumia wagonjwa 200 kwa pamoja.
Mradi huo unatekelezwa na Jeshi la kujenga Taifa kupitia kampuni yake ya Suma JKT na tayari askari 389 wamepelekwa eneo la mradi.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Older Article
RC MAKONDA AWAKUMBUSHA WANANCHI KWENDA KUHAKIKI TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KESHO
KILUPI: ATAKA KURA ZA MAONI ZISIWAGAWE WANACCM
Hassani MakeroApr 14, 2025Dkt.Dimwa - Akemea Rushwa Mchakato wa Kura za Maoni
Hassani MakeroApr 14, 2025WAZIRI ULEGA AWAOMBA TET KUENDELEZA TUZO YA TAIFA YA MWALIMU NYERERE YA UANDISHI BUNIFU
Hassani MakeroApr 14, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment