YAS YAIBUKA KINARA TUZO ZA TEHEMA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Sunday, February 23, 2025

YAS YAIBUKA KINARA TUZO ZA TEHEMA

Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania usiku wa kuamkia Leo imeibuka kinara wa jumla katika Tuzo za Tehama zilizoandaliwa na mamlaka ya Teknolojia ya habari na Mawasiliano TEHAMA.

ambapo katika Tuzo hiyo YAS imeibuka mshindi wa jumla kwa makampuni yanayoongoza kwa matumizi ya Teknolojia ya habari Tehama,ambapo imekuwa ikishindanishwa na makampuni mengine yanayotoa huduma kwa jamii.

Yas imekuwa kinara kwenye matumizi Teknolojia ambapo imekuwa ikijikita Zaidi katika Kutoka huduma mbalimbali ikiwemo Data, Mawasiliano ya simu,pamoja na kumbe FUPI sms, 

Mwishoni mwa mwaka Jana kampuni ya Yas iliweza kuibuka kinara na hatimaye kutwa Tuzo ya mshindi wa jumla Africa Tuzo zinazoandaliwa na shirika la kimataifa la OOKLA lenye maskani yake Nchini MAREKANI ambapo Yas zamani Tigo ilifanikiwa kuibuka mshindi mara mbili wa Tazo hiyo

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages