KUNDI LA VIAJANA WAFYEKA MAHINDI YA WATAWA,YADAIWA NI AGIZO KUTOKA KWA DAVID MLINGA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Tuesday, April 11, 2017

KUNDI LA VIAJANA WAFYEKA MAHINDI YA WATAWA,YADAIWA NI AGIZO KUTOKA KWA DAVID MLINGA


Zaidi ya heka mbili za mashamba ya mahindi ya watawa wa Lighano Jimbo kuu katoliki la Songea yamefyekwa na kundi la vijana wanaodaiwa kukodiwa na bwana David Milinga waliovamia mashamba na kufanya uharibifu huo.

Zaidi ya heka mbili za mashamba ya mahindi ya wataa a Lighambo Jimbo Kuu Katoliki la songea, yamefyekwa na kundi la vijana wanaodaiwa kukodiwa na Bwana david Milinga waliovamia mashamba na kufanya uharibifu huo.

Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Namtumbo ilitembelea mashamba yaliyoharibiwa na kuona mahindi yalivyofyekwa mlezi wa nyumba ya watawa padre Michael Milinga amesema mara kadhaa walikuwa wanapokea simu na ujumbe wa vitisho kutoka kwa bwana mmoja aliyetajwa kwa jina la David Milinga ya kuwa wakilima yeye atakwenda kuvuna juzi walipokea taarifa kutoka kwa mwananchi mmoja kuwa kundi la vijana kutoka kijiji cha mkongo wakiwa na mapanga wanafyeka mahindi.

Aidha mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Luckness Amlima amelishangaa jeshi la polisi wilayani humo kutochukua hatua kwa Zaidi ya siku tatu toka uharibifu huo ufanyike.

Baada ya kamati ya ulinzi kuondoka eneo la tukio mtuhumiwa David Milinga na kundi la vijana ambao idadi yake haikufahamika walikamatwa na kufikishwa kituo cha polisi wilaya ya Namtumbo.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages