Ujumbe wa UN Tanzania watembelea Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Thursday, April 13, 2017

Ujumbe wa UN Tanzania watembelea Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja

 Ujumbe wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, ukiongozwa na  Mratibu wa Mashirika hayo, Mh. Alvaro Rodriguez umetembelea Hospitali ya Mnazi Mmoja kwa lengo la kujuwa maendeleo yake.
 Wajumbe wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania wakitembelea wodi mpya ya wazazi ya Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.
 Mhandisi Mkuu wa Hospitali ya Mnazimmoja Bi Mathna Kassim Marine akitoa maelezo kwa Mratibu wa Mashirika ya UN alipotembelea sehemu ya kuzalisha gesi ya Oxygen inayotumika katika Hospitali hiyo.
 Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa Tanzania Alvaro Rodriguez akiuliza swali kwa uongozi wa Hospitali ya Mnazimmoja alipotembelea Hospitali hiyo kujuwa maendeleo yake.
 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mnazimmoja Dkt. Naufal Kassim Mohd akitoa maendeleo na changamoto za Hospitali ya Mnazimmoja wakati Ujumbe wa Mashirika ya UN ulipotembelea Hospitali hiyo.
Ujumbe wa Mashirika ya UN Tanzania ukiongozwa na Alvaro Rodriguez wa kwanza (kushoto) ukitembelea Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages