Monday, May 15, 2017

CHINA YAPELEKA BINADAMU KUISHI MUDA MREFU MWEZINI
China imepiga hatua nyingine katika
mpango wake wa anga za juu, baada ya kuanza kufanyia majaribio mpango wa
kupeleka binadamu wakaishi kwa muda mrefu kwenye Mwezi.
Wanafunzi wa sayansi wamehamia katika
chumba maalum chenye mazingira yanayofanana na ya Mwezi ambapo watakaa kwa siku
200.
Lengo ni kuwaanda kwa safari ya kuishi
kwa muda mrefu kwenye kituo cha anga za juu kwenye Mwezi, bila kupokea usaidizi
wowote kutoka ardhini.
China imewekeza pesa nyingi sana katika
mpango wake wa anga za juu, ikilenga kushindana na Marekani na urusi.
Tags
# KIMATAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
BOT yaifungia benki ya jamii ya Mbinga
Older Article
NBC marks its 50 years celebrations
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi
Hassani MakeroFeb 16, 2025RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA MSUMBIJI
Hassani MakeroFeb 15, 2025A Tanzania doctor receives International Award
kilole mzeeJan 15, 2025
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment