CHINA YAPELEKA BINADAMU KUISHI MUDA MREFU MWEZINI - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Monday, May 15, 2017

demo-image

CHINA YAPELEKA BINADAMU KUISHI MUDA MREFU MWEZINI

_91948249_e8efba6f-c29c-41a5-ad63-0bf313745bb6
China imepiga hatua nyingine katika mpango wake wa anga za juu, baada ya kuanza kufanyia majaribio mpango wa kupeleka binadamu wakaishi kwa muda mrefu kwenye Mwezi.

Wanafunzi wa sayansi wamehamia katika chumba maalum chenye mazingira yanayofanana na ya Mwezi ambapo watakaa kwa siku 200.

Lengo ni kuwaanda kwa safari ya kuishi kwa muda mrefu kwenye kituo cha anga za juu kwenye Mwezi, bila kupokea usaidizi wowote kutoka ardhini.


China imewekeza pesa nyingi sana katika mpango wake wa anga za juu, ikilenga kushindana na Marekani na urusi.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *