YALIYOJIRI LUSHOTO BAADA YA MVUA ZINAZOENDELEA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Monday, May 15, 2017

YALIYOJIRI LUSHOTO BAADA YA MVUA ZINAZOENDELEA

Wananchi wa waishio Lushoto wamepatwa na adha ya usafiri baada ya mvua zinazoendelea kusababisha kuporomoka kwa mawe na udongo na kufunga maeneo yenye njia za mawasiliano

Wor'Out Media Blog ikiongea na mmoja wa wananchi waishio maeneo hayo ya Vuga, Ndugu Raphael Rahim Mgongo, anasema mvua hizo zimepelekea kudhorotesha uchumi wa sehemu hiyo.



 Wasafiri wakipita katika barabara iliyomegwa na  maporomoko ya mvua eneo la Vuga Bazo Lushoto Mkoani Tanga na kuhatarisha usalama kwa watembea kwa miguu.
 Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga, Benedickti Wakulyamba akipanda moja ya mawe yaliyoanguka kutoka juu mlimani na  kufunga barabara kufuatia mvua kubwa iliyonyesha juzi



Wanafunzi na wasafiri wanaoelekea Lushoto wakipanda moja ya mawe yaliyofunga barabara baada ya kuanguka juu mlimani kufuatia mvua kubwa iliyonyesha juzi.







No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages