Monday, August 14, 2017

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa
akizungumza na watumishi wa serikali leo Mkoani Tabora kabla ya kuondoka
kwaajili ya kurejea Dodoma baada ya kumaliza ziara yake mkoani humo.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akiagana
na Mbunge wa Manonga Seif Khamis Gulamali katika Viwanja vya Ndege vya Tabora
tayari kwa safari ya kurudi Mkoani Dodoma kikazi. (Picha na Raymond Urio)
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
WAHARIRI WAPEWA SOMO KUHUSU UZALISHAJI SARUJI NA UBORA WAKE
Older Article
MAGAZETI YA JUMATATU LEO AGOSTI 14, 2017
SERIKALI YATOA MWEZI MMOJA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE 2024 KUBADILISHA MACHAGUO YA TAHASUSI ZA KIDATO CHA TANO
Hassani MakeroApr 02, 2025WADAU WAOMBWA KUJITOKEZA KUDHAMINI TAMASHA LA KUOMBEA UCHAGUZI MKUU MWAKA HUU
Hassani MakeroApr 02, 2025Rais Samia ahutubia Baraza la Eid El Fitr Jijini Dar es Salaam
Hassani MakeroMar 31, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment