Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Joseph Abdallah Meza akifungua mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wapya wa ZRB, mafunzo hayo yamefanyika Ofisi za Mtakwimu Mazizini Mjini Zanzibar.
Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Joseph Abdallah Meza akifungua mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wapya wa ZRB, mafunzo hayo yamefanyika Ofisi za Mtakwimu Mazizini Mjini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment