BALOZI WA UJERUMANI NCHINI ATEMBELEA BANDA LA TUME YA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, July 10, 2020

BALOZI WA UJERUMANI NCHINI ATEMBELEA BANDA LA TUME YA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA



Balozi wa Ujerumani Nchini, Regine Hess leo tarehe 10 Julai, 2020 amefanya ziara kwenye Banda la Tume ya Madini na Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Madini katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Mara baada ya kupokewa na kutembezwa kwenye mabanda Balozi Hess alipongeza kazi nzuri inayofanywa na Wizara ya Madini kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini.

Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali kwenye ziara hiyo






No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages