Friday, July 10, 2020

Home
BIASHARA
BALOZI WA UJERUMANI NCHINI ATEMBELEA BANDA LA TUME YA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA
BALOZI WA UJERUMANI NCHINI ATEMBELEA BANDA LA TUME YA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA
Balozi wa Ujerumani Nchini, Regine Hess leo tarehe 10 Julai, 2020 amefanya ziara kwenye Banda la Tume ya Madini na Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Madini katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mara baada ya kupokewa na kutembezwa kwenye mabanda Balozi Hess alipongeza kazi nzuri inayofanywa na Wizara ya Madini kwenye usimamizi wa Sekta ya Madini.
Zifuatazo ni picha za matukio mbalimbali kwenye ziara hiyo
Tags
# BIASHARA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
PROF. MCHOME APONGEZA KASI YA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA IJC
Older Article
RC MAKONDA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA MAPINDUZI MAKUBWA YA UJENZI WA RELI YA KISASA YA SGR.
Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
Hassani MakeroMar 11, 2025Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari Zanzibar, Yajivunia Ongezeko la Wateja
Hassani MakeroMar 07, 2025BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA RASHAL ENERGIES, INAYOJENGA BOMBA LA GESI KISEMVULE-MBAGALA
Hassani MakeroMar 07, 2025
Labels:
BIASHARA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment