Wednesday, November 10, 2021

Home
KITAIFA
Wananchi Wakimbilia Huduma Za NHIF Katika Maonesho Ya Wiki Ya Huduma Za Kifedha, Jijini Dar
Wananchi Wakimbilia Huduma Za NHIF Katika Maonesho Ya Wiki Ya Huduma Za Kifedha, Jijini Dar
Afisa Udhibiti Ubora wa NHIF Dk.Peter Nyakubenga akionesha wateja aina ya vifurushi vya Bima ya Afya vinavyotolewa na NHIF kwenye maonesho ya Wiki ya Huduma za Kifedha yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Sheikh Issa Ponda akipata maelezo na huduma zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kutoka Afisa Udhibiti Ubora wa Mfuko huo Dk.Peter Nyakubenga wakati sheikh Ponda alipotembelea banda la NHIF katika wiki ya maonesho huduma za Kifedha yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijoni Dar es Salaam.
Sheikh Issa Ponda akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea Banda la NHIF kwenye maonesho ya Wiki ya Huduma za Kifedha yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Luhende Singu akimpa maelezo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF katika Maonesho ya Wiki ya Huduma za Kifedha yanayoendelea viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Afisa Masoko Mkuu wa NHIF Luhende Singu akizungumza na mteja kuhusiana na huduma za vifurushi vya bima na namna ya matibabu yanayopatikana ni katika hospItali zote za binafsi na serikali.
Tags
# KITAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
SHERIA YA MISITU GN417 IMEENDELEA KUWA CHANGAMOTO KATIKA VIJIJI VINAVYOSHIRIKI DHANA YA USIMAMIZI SHIRIKISHI - WADAU
Older Article
Prof. Mbennah Awasilisha Hati Za Utambulisho Nchini Mauritius
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA MAJI MAKOREMO-MGONGORO
Hassani MakeroMar 12, 2025"Stori za Afya za Wanawake wa Tanzania zina thamani kwetu", Absa Bank
Hassani MakeroMar 12, 2025HALMASHAURI KUU YA CCM YAPENDEKEZA MAREKEBISHO YA KANUNI ZA UTEUZI WA WAGOMBEA UONGOZI
Hassani MakeroMar 11, 2025
Labels:
KITAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment