Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi yazungumzia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika Sekta za Uchumi wa Buluu - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Wednesday, August 16, 2023

Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi yazungumzia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika Sekta za Uchumi wa Buluu

Katibu Mkuu Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi Dkt Aboud Suleiman Jumbe na Mkurugenzi wa Idara ya Sera Mipango na Utafiti wa Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Ndg Sheha Idrissa Hamdan, waalikwa katika studio za Bahari FM 97.5 Zanzibar kuzungumzia masuala mbali mbali ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika Sekta za Uchumi wa Buluu.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages