RAIS SAMIA AFUTURISHA VIONGOZI MBALIMBALI MKOANI ARUSHA - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Saturday, March 8, 2025

RAIS SAMIA AFUTURISHA VIONGOZI MBALIMBALI MKOANI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akijumuika na viongozi kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini, wazee wa Mkoa wa Arusha pamoja na makundi mbalimbali katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Arusha tarehe 08 Machi, 2025.
Viongozi wa dini, wazee wa Mkoa wa Arusha, wageni kutoka Taasisi mbalimbali wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Ikulu ndogo ya Arusha tarehe 08 Machi, 2025.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages