Wednesday, April 26, 2017

Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu
Balozi wa Tanzania nchini
Uingereza, Dkt. Asha Rose Migiro leo aliandaa hafla fupi katika makazi ya
Balozi kumpongeza kijana mtanzania Alphonse Simbu Kwa kushika nafasi ya tano
katika mbio za "London Marathon" zilizofanyika tarehe 23 Aprili 2017
jijijini London.
Katika salamu zake,
Balozi Migiro alimpongeza Bw. Simbu kwa heshima aliyoipa Tanzania jijini London
na Duniani kupitia mbio za London. alimsihi atumie matokeo hayo kama
hamasa ya kufanya bidii zaidi kwa ajili ya mashindano ya mbio ndefu
anayotarajiwa kushiriki baadae mwakani.
Simbu alimshukuru Balozi
Migiro Kwa ushirikiano mkubwa wa kibalozi alioupata akiwa jijini
London. Alimkabidhi Balozi Fulana ya kumbukumbu ya ushiriki wake kwenye mbio
hizo.
Pichani Balozi Asha Rose Migiro akipokea
Fulana hiyo.
Tags
# KIMATAIFA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Newer Article
SIMBA YAIFUATA DAWA YA KUIA AZAM JUMAMOSI KOMBE LA FA
Older Article
TRA Yaja na Mikakati Mipya Ya Ukusanyaji Kodi
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi
Hassani MakeroFeb 16, 2025RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA MSUMBIJI
Hassani MakeroFeb 15, 2025A Tanzania doctor receives International Award
kilole mzeeJan 15, 2025
Labels:
KIMATAIFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment