Saturday, April 29, 2017

Home
SKONGA
COCA - COLA KWANZA YAENDELEA KUTAMBULISHA UJIO WAKE MPYA WA MKANDA MWEKUNDU KWENYE CHUPA KWA SHULE ZA MBEYA, YATINGA AIR PORT SEKONDARI YAMWAGA ZAWADI NA SODA KWA WANAFUNZI
COCA - COLA KWANZA YAENDELEA KUTAMBULISHA UJIO WAKE MPYA WA MKANDA MWEKUNDU KWENYE CHUPA KWA SHULE ZA MBEYA, YATINGA AIR PORT SEKONDARI YAMWAGA ZAWADI NA SODA KWA WANAFUNZI
Moja kati ya wanafunzi wa shule
hiyo ya Air Port iliyopo Jijini Mbeya akijaribu kushiriki shiondano la kupiga
danadana kwa kutumia Mpira na hatimae kujinyakulia Mpira huo kutoka Coca-Cola.
Mwanafunzi wa shule ya Air Port
Sekondari akionyesha moja ya zawadi aliyo ipokea kutoka Coca-Cola kwanza walipo
tembelewa shuleni hapo.
Wanafunzi
wa shule ya Sekondari Air Port wakiwa katika uwanja wa shule yao uliopo katika
eneo la jakalanda jijini mbeya kuuonja msisimko na Coca-Cola yenye muonekano wa
kuvutia ulio zinduliwa hivi karibuni mkoani mbeya na kuingizwa mtaani ili
wanambeya kuendelea kuamsha shangwe zao na Coca-Cola ya nguvu yenye muonekano
mpya wa mkanda mwekundu kwenyechupa za Coca-Cola.
Mwanafunzi wa shule ya Air Port Sekondari
akionyesha kipaji cha kuimba
Mwanafunzi wa shule ya Air Port Sekondari
akionyesha kipaji chake
Tags
# SKONGA
Share This
About Hassani Makero
Hassani Makero is a Wor'Out Media Country Manager located at Unguja-Zanzibar, Tanzania performing all technical issues concerning of Media Broadcasting activities, Satellites, and FM and Television equipments supplier.
Aside from that, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2014.
Upatu: Mbinu yakujikwamua yenye tamu na chungu
Hassani MakeroJan 27, 2025FEZA Boys yatikisa ufahulu wa wanafunzi kidato cha nne
Hassani MakeroJan 23, 2025TIBA YA KWELI YA UGONJWA WA KIFUA KIKUU (TB)
Hassani MakeroNov 10, 2024
Labels:
SKONGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment