COCA - COLA KWANZA YAENDELEA KUTAMBULISHA UJIO WAKE MPYA WA MKANDA MWEKUNDU KWENYE CHUPA KWA SHULE ZA MBEYA, YATINGA AIR PORT SEKONDARI YAMWAGA ZAWADI NA SODA KWA WANAFUNZI - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Saturday, April 29, 2017

demo-image

COCA - COLA KWANZA YAENDELEA KUTAMBULISHA UJIO WAKE MPYA WA MKANDA MWEKUNDU KWENYE CHUPA KWA SHULE ZA MBEYA, YATINGA AIR PORT SEKONDARI YAMWAGA ZAWADI NA SODA KWA WANAFUNZI

1

Pichani ni wanafunzi wa shule ya sekondari ya Air Port iliyopo jijini mbeya wakiwa wamekamatia soda mkononi kotoka katika kampuni ya Coca-Cola ikiwa ni muendelezo wa kuendelea kuamsha shangwe na Coca-cola na ujio mpya wa mkanda mwekundu katika chupa za soda ya Coca-Cola.

2

10

Moja kati ya wanafunzi wa shule hiyo ya Air Port iliyopo Jijini Mbeya akijaribu kushiriki shiondano la kupiga danadana kwa kutumia Mpira na hatimae kujinyakulia Mpira huo kutoka Coca-Cola.
3
Mwanafunzi wa shule ya Air Port Sekondari akionyesha moja ya zawadi aliyo ipokea kutoka Coca-Cola kwanza walipo tembelewa shuleni hapo.
4

5

9

12

13

14

15


Wanafunzi wa shule ya Sekondari Air Port wakiwa katika uwanja wa shule yao uliopo katika eneo la jakalanda jijini mbeya kuuonja msisimko na Coca-Cola yenye muonekano wa kuvutia ulio zinduliwa hivi karibuni mkoani mbeya na kuingizwa mtaani ili wanambeya kuendelea kuamsha shangwe zao na Coca-Cola ya nguvu yenye muonekano mpya wa mkanda mwekundu kwenyechupa za Coca-Cola.
6

7
 Mwanafunzi wa shule ya Air Port Sekondari akionyesha kipaji cha kuimba
8

19
 Mwanafunzi wa shule ya Air Port Sekondari akionyesha kipaji chake
17

16

18

11

20

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages

Contact Form

Name

Email *

Message *