WAJUMBE wa Bodi ya ZBS Zanzibar ziarani Pemba kujitambulisha - Wor'Out Media

Wor'Out Media is a premier site for selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the world. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.

Breaking

Friday, April 14, 2017

WAJUMBE wa Bodi ya ZBS Zanzibar ziarani Pemba kujitambulisha

MKUU wa Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba, Mhe:Abid Juma Ali akizungumza na wajumbe wa bodi ya ZBS Zanzibar, wakati wajumbe wa bodi hiyo wakati walipofika Kutambulisha uwepo wa bodi hiyo.
 AFISA mdhamini Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Pemba, Abdalla Juma Khamis, akiwatamulisha wajumbe wa Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS), wakati walipotembelea taasisi za serikali kuitambulisha ZBS Kisiwani Pemba.
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Mhe Omar Khamis Othman, akizungumza na wajumbe wa Bodi ya ZBS wakati walipofika kuitambulisha bodi hiyo huko Wete.
MWENYEKITI wa bodi ya Taasisi ya Viwango Zanzibar, Profesa Ali Seif Mshamba(Wakwanza kulia) akitoa taarifa ya bodi ya ZBS wakati wajumbe wa bodi hiyo walipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba.
MKUU wa Wilaya ya Wete Mhe Rashid Khadid Rashid, akizungumza na wajumbe wa Bodi ya ZBS, wakati wajumbe wa bodi hiyo walipofika kuitambulisha bodi ya ZBS kwa viongozi wa taasisi za Serikali Pemba.
MKURUGENZI wa ZBS Zanzibar Khatib Mwadin Khatib, akizungumza katika mkutano wa wajumbe wa bodi hiyo na viongozi wa Serikali ya Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wajumbe wa bodi hiyo walipofika kutambulisha uwepo wa bodi hiyo. 
WAJUMBE wa Bodi ya ZBS Zanzibar, wakiwa katika picha ya Pamoja na Viongozi wa Serikali ya Mkoa wa Kaskazini Pemba, mara baada ya wajumbe hao kumaliza kikao cha pamoja huko Wete.

No comments:

Post a Comment

Sharing Buttons

Pages